Ukweli mchungu: Wanawake bila kuwafanyia maigizo katika mahusiano huwezi kwenda nao sawa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Vitabu vya Dini vilivyosema tuishi nao kwa akili havikukosea, najua kuna wengine watanipinga lakini nasema hivi


Watoto wa kike bila kuwadanganya kuwaongopea bila kuwafanyia maigizo huwezi kwenda nao sawa


Ukitaka mtoto wa kike akupende zaidi au uweze kwenda nae sawa mfanyie maigizo unapopata nafasi ya kudanganya danganya kweli kwelii usiogope kuonekana mjinga zumbukumbuku au bushoke kama kuna sehemu ya kusifia sifia tuu


Lakini ukijifanya wewe ni mwanaume mchaa Mungu Mlokole unataka kuishi maisha yako really nakwambia wanawake utawaona wachungu utalalamika kuachwa sijui kutendwa lakini ukweli wako ndo umekuponza umeachwa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad