Uturuki yatangaza rasmi tarehe ya chanjo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais Recep Tayyip ErdoÄŸan amesema kuwa chanjo dhidi ya corona itaanza mwishoni mwa juma.
Rais ErdoÄŸan alitoa hilo matamko baada ya mkutano wa baraza la mawaziri.

Akikumbushia kwamba hatua iliyofikiwa katika vita dhidi ya corona, ErdoÄŸan aliangazia hali ya kupungua kwa idadi ya vifo na kesi za maambukizi.

ERdoÄŸan kwa mara nyingine amesisitiza suala la usafi wa kila mtu kama njia ya kupambana na virusi.

Uturuki iliagiza chanjo dozi milioni 3 kutoka China ambazo zimemaliza utaratibu wa upimaji na zitaanza kutolewa kwa wananchi wake hivi karibuni.

"Idadi ya kesi za maambukizi ikishuka, na sisi tutalegeza sheria kama tulivyofanya hapo awali." alisema ErdoÄŸan.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad