Wabunge wa Trump wanaingia Bungeni na bastola

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Spika wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi ameomba Serikali kuwaongezea ulinzi zaidi Wabunge huku akisema Adui yupo miongoni mwa Wabunge wenyewe.

 

“Kuna Wabunge wa Chama cha Republican cha Rais wa zamani Donald Trump wanaingia Bungeni wakiwa na Bastola, na kutishia usalama, tuongezewe ulinzi”-Nancy


Kumekuwa na kauli kadhaa za FBI kuonya kuwa huenda kukatokea tukio la kigaidi siku za karibuni Nchini Marekani, tangu Wafuasi wa Trump wavamie Bunge na kufanya vurugu zilizopelekea vifo vya Watu kumekuwa na hofu ya kutokea kwa vurugu nyingine pia.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad