Kanye West ameripotiwa kumzawadia Kim Kardashian magari 5 mapya aina ya Mercedes Maybach ya mwaka 202

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kanye West ameripotiwa kumzawadia Kim Kardashian magari 5 mapya aina ya Mercedes Maybach ya mwaka 2021, asubuhi ya Sikukuu ya Krismasi mwezi uliopita.

Kwa mujibu wa TMZ, licha ya sakata la talaka ambalo linaendelea kwenye ndoa yao, Kanye alimpatia Kim zawadi hizo ambapo inaelezwa gari moja lina thamani ya ($200,000) sawa na takribani TSh. 463M. Hivyo kwa magari 5 ni kama ($1M) ambazo ni sawa na TSh. Bilioni 2.3
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad