Wanajeshi wa Uganda waripotiwa kuvamia makazi ya mgombea wa urais Bobi Wine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Mgombea wa Urais nchini Uganda Robert Kyagulanyi amelazimika kukatiza mahojiano yake na radio baada ya wanajeshi kuvamia nyuma yake mjini Kampala.
Vyombo vya habari nchini Uganda vinaripoti kuwaleo asubuhi wanajeshi waliizingira nyumba yake , na kuwakamata walinzi wake wote na mtu yeyote waliyempata katika eneo la makazi ya mwanasiasa huyo wa upinzani

Hata hivyo hakuna sababu iliyotolewa juu ya uvamizi huo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad