AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mgombea wa Urais nchini Uganda Robert Kyagulanyi amelazimika kukatiza mahojiano yake na radio baada ya wanajeshi kuvamia nyuma yake mjini Kampala.
Vyombo vya habari nchini Uganda vinaripoti kuwaleo asubuhi wanajeshi waliizingira nyumba yake , na kuwakamata walinzi wake wote na mtu yeyote waliyempata katika eneo la makazi ya mwanasiasa huyo wa upinzani
Hata hivyo hakuna sababu iliyotolewa juu ya uvamizi huo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK