AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wadau mbalimbali ndani ya JamiiForums wanasema imeshakuwa kama desturi kila wakati kuripotiwa tukio la Mwananchi au Mtumishi wa Umma (hasa Walimu) kuchapwa viboko ama kunaswa vibao na Watendaji wa Serikali
Wanasema ni #Haki na wajibu kwa wakosefu kuadhibiwa, lakini ni lazima iwe kwa mujibu wa #Sheria. Kuwachapa Watu wazima viboko hadharani hivyo ni viashiria vya utumwa mamboleo
Inaelezwa vitendo hivi vinajenga chuki na kuamsha hasira za Wananchi, jambo ambalo linaweza kupelekea baadhi ya watu kupanga kulipiza kisasi endapo watakuja kufanyiwa udhalilishaji huu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK