Watu wasiopungua 43 wafariki baada ya boti kuzama Bahari ya Mediterania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Watu wasiopungua 43 wameripotiwa kufariki kutokana na kuzama kwa boti iliyokuwa ikisafirisha wahamiaji kutoka pwani ya Libya katika Bahari ya Mediterania.


Umoja wa Mataifa uliripoti kuwa boti hiyo iliyokuwa imebeba wahamiaji haramu ilizama katika pwani ya Libya, ambapo watu wasiopungua 43 walifariki na wengine 10 waliokolewa.


Libya ni moja ya maeneo yanayotumiwa mara kwa mara na Waafrika ambao wanataka kwenda Ulaya kinyume cha sheria.


 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad