AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu wasiopungua 43 wameripotiwa kufariki kutokana na kuzama kwa boti iliyokuwa ikisafirisha wahamiaji kutoka pwani ya Libya katika Bahari ya Mediterania.
Umoja wa Mataifa uliripoti kuwa boti hiyo iliyokuwa imebeba wahamiaji haramu ilizama katika pwani ya Libya, ambapo watu wasiopungua 43 walifariki na wengine 10 waliokolewa.
Libya ni moja ya maeneo yanayotumiwa mara kwa mara na Waafrika ambao wanataka kwenda Ulaya kinyume cha sheria.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK