Waziri wa Afrika Kusini apatikana na corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Waziri Jackon Mthembu alikuwa na maumivu ya tumbo kabla ya kupimwaImage caption: Waziri Jackon Mthembu alikuwa na maumivu ya tumbo kabla ya kupimwa
Waziri wa nchi katika ofisi ya rais Jackson Mthembu amekuwa waziri wa nne katika serikali ya Afrika Kusini kupatikana na virusi vya corona.

Bw Mthembu alipimwa virusi hivyo baada ya kuwa na dalili, ilisema ofisi ya rais.

Amewekwa katika karantini pamoja na kila mtu aliyekaribiana naye

Waziri Mthembu alitweet akisema ana maumivu ya tumbo :

Afrika Kusini ina aina mpya ya virusi vya corona inayosambaa kwa kasi kubwa.

Nchi hiyo ilirekodi wagonjwa wapya 15,046 na vifo vipya416, na kulifanya taifa hilo kufikia jumla ya wagonjwa wa corona1,246,643 na vifo 33,579.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad