AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Januari 15, WhatsApp imetoa tamko la kusogeza muda huo kutoka Februari 8 hadi Mei 15 ili watu waweze kueleweshwa zaidi kuhusu Sera mpya ya Faragha ya WhatsApp
WhatsApp imesema kuwa, Sera yao haimaanishi kuwa watasoma ujumbe ambao wateja watatumiana kwa kuwa meseji zimefungwa kwa 'end to end encryption'
Suala la kufuta akaunti kwa kutokubali masharti lilikuwa gumzo na kusababisha mitandao inayofanya kazi sawa na WhatsApp kupata wateja wengi ndani ya siku chache
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK