Yanga Yawachinjia Baharini Ihefu FC

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



UONGOZI wa Yanga kupitia kamati yake ya usajili, imewachinjia baharini mabosi wa Ihefu FC, kufuatia barua yao ya kumtaka mshambuliaji wao Waziri Junior, akajiunge nao kwa mkopo.

 

Takribani mwezi mmoja sasa Ihefu iliandika barua yake kwa uongozi wa Yanga, ukimuomba Waziri ajiunge na kikosi chao baada ya kusikia wanataka kumtoa kwa mkopo.



Akizungumza na gazeti hili, Kocha Mkuu wa Ihefu, Zubeir Katwila ameweka wazi kuwa, pamoja na kuendelea kuaminishwa na uongozi wa Yanga kuwa atapewa saini ya Waziri, amepata habari za ndani kuwa mchezaji huyo huenda akapelekwa Coastal Union ya Tanga.

 

“Nimesikia kuna uwezekano wa kumkosa Waziri, ambaye tuliwaomba Yanga watupatie kwa mkopo tena mapema kabi-sa, nilimtege-mea sana Waziri kuja kutu-saidia ila kama kweli wameamua kutotupatia siyo mbaya, tutajitahidi kuwatumia washam-buliaji ambao tumewapata kipindi hiki,” alisema Katwila
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad