Abiria Kenya Airways Ruhusa Kulipia Viti vya Ziada Kujikinga na Corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


ABIRIA wa ndege za shirika la Kenya Airways (KQ) sasa wanaweza kununua kiti cha ziada cha pembeni wakati wanasafiri iwapo wanataka kuwa mbali na abiria wengine.


Huduma hiyo inayoitwa Economy Max itakuwepo kwa watu wanaotaka faragha na usalama hasa wakati huu wa kuenea kwa ugonjwa wa Covid-19.


Wanaotaka kufanya hivyo watalazimika kununua mapema kiti kimoja au zaidi katika muda wa kati ya saa tatu na 48 kabla ya kusafiri.


Abiria wa ndani watalipa Dola 15 kwa ajili ya kiti cha ziada na Dola 20 kwa viwili.

Abiria kutoka au kwenda Nairobi kutoka Amerika watalipa Dola 120 kwa kiti cha ziada na Dola 230 kwa viti viwili.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad