Agness amkana Uchebe hadharani "Alikuwa na Stress"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii na mfanyabiashara Official Agness amesema hakuwahi kuwa kwenye mahusiano na Uchebe bali alitumika kujifanya wapo kwenye mahusiano ili kumuumiza aliyekuwa mke wake Shilole baada ya kuachana kwao.

 

Akifichua siri hiyo Agness wa Uchebe amesema kilichoendelea kati yao ni urafiki tu japo nje walijulikana kama wapenzi, ila ukweli ni kwamba wanaheshimiana kama kaka na dada na hawakuwahi kushea kitanda kimoja.


"Mimi na Uchebe hatujawahi kuwa na mahusiano alikuwa ni rafiki yangu wa kawaida ila kulikuwa na drama zinaendelea, Uchebe alikuwa na stress baada ya kuchana na mkewe hivyo akanipanga kunitumia ili kumuumiza Shilole" amesema Agness wa Uchebe 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad