Albamu ya Darasa yafanya vizuri, yafikisha watazamaji milioni 138

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Album ya rapa Darassa  a.k.a Mr Burudani, "Slave Becomes A King", inaendelea kufanya vizuri duniani, ikiwa tayari ina miezi miwili pekee tangu iachiwe rasmi. Iliachiwa mwishoni mwa mwaka, na tayari imefikisha jumla ya streams MILIONI 138 kwenye majukwaa yote ya kusikiliza na kupakua muziki duniani (Digital Platforms).

"Slave Becomes A King" ina jumla ya nyimbo 21 alizowashirikisha wasanii tofauti tofauti kama #Alikiba, Marioo, Nandy, BillNass, ShoMadjozi na wengine wengi. Pia hii ndio album yake ya kwanza kwenye muziki wake.

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Sanjali na hilo, Mr Burudani Darassa tayari kashaachia video mbili toka kwenye album hiyo, video hizo ni pamoja na Proud Of You (ft. AliKiba & Waiter) ukiacha 'I Like It' (ft. Sho Madjozi) ambayo ilitangulia mwaka jana.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad