google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html ALIKIBA apiga KAMBI Nigeria kwa wiki mbili, Afunguka ALBUM yake kukamilika kwa kiasi kikubwa | UDAKU SPECIAL

ALIKIBA apiga KAMBI Nigeria kwa wiki mbili, Afunguka ALBUM yake kukamilika kwa kiasi kikubwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nyota wa muziki nchini, msanii Ali Saleh maarufu #KingKiba, @officialalikiba, ambaye anafanya vizuri kwa sasa na ngoma yake "Infidèle" ambayo ndani ameimba baadhi ya mashairi kwa lugha ya kifaransa, ameweka kambi nchini #Nigeria mapema wiki hii ambapo atakaa kwa muda wa wiki mbili. Ameeleza.


"Lagos for 2 weeks, Album almost done". - Alitweet #AliKiba kupitia ukurasa wake wa Twitter.


Album hiyo mpya ya #AliKiba inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake, mpaka sasa haijafahamika itaitwaje, ila aliweka wazi nyota huyo kuwa itatoka kabla ya mwezi sita.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad