AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyota wa muziki nchini, msanii Ali Saleh maarufu #KingKiba, @officialalikiba, ambaye anafanya vizuri kwa sasa na ngoma yake "Infidèle" ambayo ndani ameimba baadhi ya mashairi kwa lugha ya kifaransa, ameweka kambi nchini #Nigeria mapema wiki hii ambapo atakaa kwa muda wa wiki mbili. Ameeleza.
"Lagos for 2 weeks, Album almost done". - Alitweet #AliKiba kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Album hiyo mpya ya #AliKiba inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake, mpaka sasa haijafahamika itaitwaje, ila aliweka wazi nyota huyo kuwa itatoka kabla ya mwezi sita.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK