Aliyemtapeli Wema afunguka mapya ya staa huyo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu Patrick Christopher ambaye anadaiwa kumtapeli zaidi ya milioni 60 staa huyo wa filamu amefunguka kusema, Wema Sepetu ni mwanamke ambaye haijui 'future' yake na anapenda sana starehe.

 

Kupitia EATV & EA Radio Digital, Patrick Christopher amesema alikuwa kwenye mahusiano na Wema Sepetu kwa kipindi cha miaka mitatu ila waliamua kuachana baada ya kuvuja kwa video zikiwaonesha wakiwa faragha.


"Tulikaa kwenye mahusiano karibia miaka mitatu, yupo tofauti ni wanawake wengine wanaojituma yeye haijui 'future' yake, anaishi kwa kuangalia leo tu na mpenda starehe, tulifikia hatua ya kuachana kwa sababu alikuwa ana-post vitu vya ajabu wakati mimi nina mtoto mkubwa na viliniletea aibu kwenye jamii" amesema Patrick Christopher

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad