AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Amber Lulu amegoma kumuweka wazi baba wa mtoto wake ajaye huku akisisitiza kuwa sio P-Funk Majani ambaye watu wengi wamekuwa wakidai kuwa ndio baba wa mtoto wake.
Amber amesema hayo usiku wa kuamkia leo kwenye hafla ya Baby shower yake iliyofanyika pale Hekima Garden, maeneo ya Mikocheni jijini Dar es Salaam.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK