Amuua Mwanamke Aliyemkuta Akinywa Pombe na Mumewe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




DAYANE RAFEELLE de SILVA ROGRIGUES (31) anashikiliwa na polisi  huko Caera, Brazil, kwa kumwua mwanamke  mmoja aitwaye Djaiane Batista Barros (26) kwa kumpiga risasi wakati akinywa pombe baa na mumewe.

 



Rodrigues alimpiga risasi mwanamke huyo kichwani na kumwua ambapo pia alimjeruhi mwanamme mmoja aliyekimbizwa hospitali.  Aliongeza kwamba alipiga risasi hizo kutawanya watu waliokuwa wakinywa na mumewe lakini hakumfahamu mwanamke aliyemwua.



Mtuhumiwa anasemekana hana rekodi ya uhalifu na alifanya hivyo kutokana na mfadhaiko.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad