Anayedaiwa Kumuua Baba yake Mzazi Nick Minaj Atiwa Mbaroni...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mshukiwa wa mauaji ya Baba mzazi wa Nicki Minaj, ametiwa mbaroni mara baada ya kujisalimisha mwenyewe katika kituo cha polisi jana Jumatano.


Mshukiwa huyo Charles Polevich (71) ambaye alimgonga na gari Baba mzazi wa Nicki Minaj na kukimbia, ameshtakiwa kwa kosa la kukimbia eneo la tukio mara baada kwa lengo la kukwepa ushahidi.


Mzee Robert Maraj alifariki dunia punde tu baada ya kufikishwa hospitali. Nicki Minaj bado hajazungumza chochote hadi sasa kuhusiana na kifo cha baba yake mzazi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad