Anjella aelezea Ugonjwa wa ajabu unaomsumbua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii anayesaidiwa na Harmonize kwenye upande wa muziki na matibabu, Anjella ameeleza kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa miguu ambao ulimuanza tangu akiwa darasa la 7.

 

Anjella amesema amepambana sana na ugonjwa huo mpaka wakakata tamaa wakabaki kufanya maombi ila anamshukuru Harmonize ambaye ameahidi atamsaidia na kumpeleka nchini India.


"Tatizo la miguu lilianza nikiwa darasa 7 sasa imepita miaka 8, nililala na nilivyoamka mguu ukawa unauma, tukakaa kama wiki ukaanza kutoa uvimbe, tukaenda Hospitali ya kwanza Ugonjwa hakuonekana ,ya pili wakasema ni tende, ya tatu wakasema mirija inayopitisha uchafu imeziba"


"Tukapambana na matibabu hadi tukapoteza matumaini, namshukuru Mungu ameniletea Harmonize ambaye amesema atanibitia na atanitafutia Hospitali za hapa wanaoweza kushughulikia tatizo langu na ikishindikana atanipeleka India" ameongeza Anjella 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad