"Billnass anataka watoto 6" - Nandy

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


The African Princess Nandy amefunguka kusema mpenzi wake Billnass amemwambia anataka kuwa na watoto 6 kutoka kwake ila akamjibu kwamba atamfikiria kwenye suala hilo.

 

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital msanii huyo ameeleza kuwa  "Tutawapokea watoto wowote ambao Mungu atakuwa ametubariki ila Billnass yeye anapenda kuwa na watoto 6, tutamfikiria" amesema Nandy 

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Aidha Nandy amesema pete ambayo aliyovalishwa na mpenzi wake huyo mwaka jana imepotea wakati anafanya shughuli za Kampeni, hivyo tukio hilo litarudiwa tena.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad