AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
The African Princess Nandy amefunguka kusema mpenzi wake Billnass amemwambia anataka kuwa na watoto 6 kutoka kwake ila akamjibu kwamba atamfikiria kwenye suala hilo.
Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital msanii huyo ameeleza kuwa "Tutawapokea watoto wowote ambao Mungu atakuwa ametubariki ila Billnass yeye anapenda kuwa na watoto 6, tutamfikiria" amesema Nandy
Aidha Nandy amesema pete ambayo aliyovalishwa na mpenzi wake huyo mwaka jana imepotea wakati anafanya shughuli za Kampeni, hivyo tukio hilo litarudiwa tena.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK