Binti Aliyeolewa na Babu wa Kizungu Aibua Mapya Kuhusu Kuwalea Vijana Wenye Umri Mdogo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Unaambiwa umri ni namba tu kwenye mahusiano, kwani msanii Azzy Superstar amesema haoni noma kuwa kwenye mapenzi na mume wake wa kizungu Mr Wolfgang kutoka nchini Austria ambaye amempita miaka 32.

 

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, Azzy Superstar amesema ameshakuwa kwenye mahusiano na vijana wenzie lakini wakaamuumiza hivyo bora alelewe mzungu huyo ili oane raha.


"Watu wanaponda mahusiano wanasema nafata pesa kwa mume wangu kitu ambacho sio kweli kwa sababu nimesha-date na wanaume ambao wapo na uwezo chini yangu wakasema nawalea, kwa hiyo acha na mimi nilelewe nione raha maana nishalea sana na mimi nimechoka" amesema Azzy Superstar 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad