AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Profesa Benno Ndulu, alikuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania kwa kipindi cha mwaka 2008 hadi 2018. Amefariki dunia Februari 22
Prof. Ndulu pia amefundisha Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). Pia, ana machapisho kuhusu Ukuaji wa Uchumi, Utawala na Biashara
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK