Breaking News: Aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amefariki dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Makamu wa kwanza wa Zanziba Maalimu seif Sharif Hamad amefariki dunia taarifa iliyotolewa muda huu na Rais wa Zanzibar kuthibitisha kifo hicho, pia Rais ametangaza siku 7 za maombolezo na bendera kupepea nusu mlingoti


Kupitia ukurasa wa Twitter rais wa Jamhuri atoa pole


"Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Natoa pole kwa Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Mwinyi, Familia, Wazanzibari, wanachama wa ACT-Wazalendo na Watanzania wote. Mungu amweke mahali pema peponi,Amina"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad