AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mara ya pili, Baraza la Seneti limeshindwa kumtia hatiani aliyekuwa Rais wa Nchi hiyo, Donald Trump ambapo wajumbe 57 walikubaliana na tuhuma wakati wajumbe 43 wamemuona hana hatia
Baraza hilo lilitakiwa kukubaliana kwa Kura 67 ikiwa ni theluthi mbili ya Wajumbe. Endapo angekutwa na hatia, Seneti ingeweza kupiga kura kumzuia kugombea Uongozi tena
Trump alikuwa anakabiliwa na mashtaka ya kuchochea ghasia zilizotokea katika jengo la Bunge Januari 06, 2021 baada ya kushindwa katika Uchaguzi Mkuu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK