EX wa Boateng afariki Dunia wiki moja baada ya kuachana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Mwanamitindo Kasia Lenhardt (25) ambaye alikuwa mpenzi wa mchezaji wa FC Bayen Munich Jerome Boateng amekutwa kafariki katika apartment yake jana mjini Berlin nchini Ujerumani.



Kifo cha Kasia kimetokea ikiwa ni wiki moja imepita toka wawili hao waachane lakini kifo chake Polisi bado hawajakihusisha au kumshuku yeyote licha ya wawili hao kuachana kwa ugomvi ambao ulienda hadi katika mitandao ya kijamii.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad