AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Fleva Diamond akirudiana na Hamisa Mobetto.
Faiza Ally ameongea hayo baada ya kumuona mtoto wa Hamisa aliyezaa na Diamond ameenda kumtembelea Baba yake, Faiza Ally aliandika ujumbe huu:-
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK