Gigy Money Amshukuru Mungu Kwa Kubadilika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


MSANII wa muziki Bongo Fleva, Gift Stanford maarufu ‘Gigy Money’ amesema anamshukuru Mungu kwa sasa amebadilika, anaishi kistarabu kadiri alivyokuwa anapaswa kuwa.


Amesema mabadiliko hayo ni kutojibizana na watu kitu ambacho siku za nyuma alikuwa akikifanya sana.

“Taratibu naanza kuwa niliyetakiwa kuwa muda mrefu, sina marafiki wengi, sijibizani tena na watu, nainjoi upweke wa hapa na pale, naridhika na vichache nilivyobarikiwa, sibembelezi ukaribu na mtu,” alisema Gigy Money ambaye kwa sasa anatumikia adhabu kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) ya kutojihusisha na sanaa ndani na nje ya nchi kwa muda wa miezi sita.

Adhabu hii ni baada ya mkali huyo akiwa katika Tamasha la Wasafi Media, Tumewasha Tour lililofanyika jijini Dodoma katika Uwanja wa Jamhuri, kupanda jukwaani kwa ajili ya kutumbuiza akiwa ametinga vazi ambalo lilikuwa linaonyesha maungo yake ya mwi


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad