Haji Manara Atoa Mpya 'Asilimia 90 ya Marafiki Zangu Wanahitaji Niwaletee Vumbi la Congo Nikirudi Tanzania'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ameandika Manara katika Ukurasa wake wa Instagram:


"Asilimia tisini ya watu wenye namba yangu wameniagizia Vumbi la Congo,,eti wanadai lile linalouzwa Kinondoni ni feki!!!

Guys imenifikirisha kidogo kuona hadi wakina dada maarufu wamenijia inbox baada ya kujua mm nipo huku..Sio wasanii wala viongozi wa mpira,hadi baadhi ya wacheza filamu, kila mmoja anataka Vumbi....


 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Ahhh Wabongo ntabeba kilo ngapi sasa?"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad