Halima Mdee aachiwa huru

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

   


Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuachia huru Mbunge wa Viti Maalum wa CHADEMA, Halima Mdee, baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha mashtaka dhidi yake kuwa alitoa maneno machafu dhidi ya Rais Magufuli.

 


Hukumu hiyo imesomwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Thamos Simba ambapo amesema Mashahidi watatu (Askari) wa upande wa mashtaka, wameshindwa kuthibitisha kuwa Mdee alitoa maneno ya uchochezi, kwa hiyo mshtakiwa hana hatia na Mahakama imemuachia huru.


"Upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha mashtaka dhidi ya mshtakiwa, kwa hiyo Mdee hana hatia, Mahakama ina muachia huru na haki ya kukata rufaa ipo wazi” Hakimu Simba


Mdee anadaiwa kuwa July 03,2017 katika makao makuu ya ofisi ya CHADEMA yaliyopo mtaa wa Ufipa wilayani Kinondoni, alitenda kosa la kutoa lugha chafu.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad