AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Mwaka 2000 nilipoteuliwa kuwa Waziri nikaenda Ikulu nikamuomba Mzee Mkapa, kwamba huyu Mkurugenzi wa Barabara (Kijazi) awe K/Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mzee Mkapa aliniangalia nafikiri alinishangaa, hakunipa jibu, baadaye Kijazi akateuliwa kuwa K/Mkuu alifanya kazi kubwa” Rais MAGUFULI
“Balozi Kijazi ametangulia zamu yetu sisi bado, Watanzania katika matatizo yoyote yanapotokea yatufanye tuwe wamoja, hofu ni mbaya, ukiona kitu hauwezi kukitatua wewe, mwambie Mungu ndiye muweza, tumekuwa tunatishana sana” Rais MAGUFULI
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK