google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Hofu ni mbaya tumekuwa tunatishana sana- JPM | UDAKU SPECIAL

Hofu ni mbaya tumekuwa tunatishana sana- JPM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





 “Mwaka 2000 nilipoteuliwa kuwa Waziri nikaenda Ikulu nikamuomba Mzee Mkapa, kwamba huyu Mkurugenzi wa Barabara (Kijazi) awe K/Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mzee Mkapa aliniangalia nafikiri alinishangaa, hakunipa jibu, baadaye Kijazi akateuliwa kuwa K/Mkuu alifanya kazi kubwa” Rais MAGUFULI
“Balozi Kijazi ametangulia zamu yetu sisi bado, Watanzania katika matatizo yoyote yanapotokea yatufanye tuwe wamoja, hofu ni mbaya, ukiona kitu hauwezi kukitatua wewe, mwambie Mungu ndiye muweza, tumekuwa tunatishana sana” Rais MAGUFULI

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad