"Irene Uwoya hawezi kuniacha" - King Sure

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Bado tunaendelea na msimu wa makopa kopa kwenye mwezi wa malavidavi na kilele chake ni siku ya wapendanao Februari 14, ambapo msanii King Sure amesema anatamani angeshehereka siku hiyo na staa wa BongoMovie Irene Uwoya.

King Sure amesema anampenda sana Irene Uwoya na tayari ameshamtumia 'message' 8 za kumtongoza lakini hajajibiwa ila anaamini akiwa naye basi staa huyo hataweza kumuacha.

  DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

"Nampenda sana Irene Uwoya na moyo wangu pale ndiyo umekufa, nimemtumia 'message' kama 8 za kumuelezea hisia zangu jinsi ninavyoumia moyoni, nikiwa naye naamini kabisa hawezi kuniacha na hawezi kuwa na mwanaume yeyote kwa sababu hao wengine wanampapasa tu" amesema King Sure 


Zaidi mtazame hapa chini kwenye video.


 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad