Janjaro Afunguka Kutekwa na Mapenzi na Kuhama DSM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii kutoka lebo ya MMB chini ya Madee Seneda, Dogo Janja amefunguka kusema ni kweli anayapenda mapenzi lakini sio kama amehama Jijini Dar Es Salaam na kwenda kuishi Arusha kwa mpenzi wake Quenlinna Totoo.

 

Dogo Janja amesema huonekana mara chache sana kwenye shughuli maalum ndiyo maana watu wanadai kama amehama kumfuata mpenzi wake 

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

"Dar Es Salaam nipo sana ila huwezi jua nilipo, nitatokea kukiwa na ishu muhimu maana sipendi kuonekana hovyo lakini watu wangu wa mtaani wananiona kila siku, mapenzi hayajawahi kuniteka ila nayapenda na nikipenda huwa nipo karibu na mpenzi" amesema Dogo Janja 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad