Kampuni za simu Tanzania zatozwa faini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imezipiga faini ya  Sh38.1 bilioni kampuni sita za simu kwa kosa la kutofikia viwango vya ubora wa huduma kama ilivyoanishwa na kanuni za ubora wa huduma za mwaka 2018.


Hata hivyo,  mamlaka hiyo imezielekeza kampuni hizo kutozipeleka fedha hizo TCRA badala yake wazitumie kuwekeza kuboresha ubora wa huduma ndani ya siku 90.

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad