google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Kenya kuandaa kura ya maamuzi kuhusu marekebisho ya katiba | UDAKU SPECIAL

Kenya kuandaa kura ya maamuzi kuhusu marekebisho ya katiba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





 Kenya inatarajiwa kuandaa kura ya maamuzi kuhusu marekebisho ya katiba b 
aada ya mswada wa Building Bridges Initiative (BBI) kuidhinishwa katika mabunge 24 kwa mujibu wa katiba.


Mabunge ya majimbo 10 zaidi yanajadili mswada huo kwa sasa na huenda idadi ya majimbo yanayounga mkono mchakato huo yakaongezeka.



Japo mswada wa BBI utahitajika kuidhinishwa na Bunge la Kitaifa na Bunge la Seneti kura ya maamuzi itafanyika hata mabunge hayo yasipouunga mkono.



Baadaye maspika wa mabunge hayo mawili watamfahamisha rais kuhusu uamuzi wao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad