Kikongwe Mwenye Miaka 116 Apona Corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


 

Mwanamke mzee zaidi barani Ulaya ambaye ni mtawa mfaransa ameponda Covid-19, siku chache kabla ya siku kuu ya kuzaliwa kwake ambayo atatimiza miaka 117.


Mtawa huyo alikutwa na maambukizi ya virusi vya corona Januari 16 lakini hakuonesha dalili zozote. Alisema hata hakugundua kuwa ana ugonjwa huo. Alijitenga na wakazi wengine ambao walikuwa wakiishi katika nyumba ya malezi huko Toulon, kusini mwa France, lakini sasa ameelezwa kuwa amepona kabisa.


Sista Andre, ambaye ni mlemavu wa macho na hutumia kiti cha kusukuma anasubiri kusheherekea siku yake ya kuzaliwa siku ya Alhamisi, akiwa amewaalika watu wachache zaidi tofauti na miaka iliyopita.


"Amekuwa na bahati sana," David Tavella, msemaji wa nyumba ya malezi ameeleza.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad