‘Kiporo’ kimechacha Simba Vs Azam

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Matokeo mechi mbili za leo; Namungo wamefanikiwa kutafuna kiporo nyumbani ukiwa ni ushindi wa kwanza kwa kocha wao mpya, Hemed Suleiman Morocco, ushindi ukiwa ni wa magoli 2 – 1.

Wakati wanalambalamba Azam FC wakipunguza ‘uteja’ mbele ya Simba leo baada ya dakika 90 kuamuliwa kwa sare ya magoli 2-2.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad