Kutana na Kijana Aliyemuua Mama yake Mzazi na Kumla Nyama Akishirikiana na Mbwa Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwaka 2019 huko Madrid, Hispania kijana mwenye umri wa miaka 26 aliyefahamika kwa jina la Alberto Sánchez Gomez alikamatwa na Polisi kwa kosa la kumuua mama yake mzazi María Soledad Gómez aliyekua na miaka 66.


Uchunguzi wa Polisi ulianza baada ya mama huyo kutoonekana mwezi mzima. Polisi walifika nyumbani kwake kwaajili ya kuchunguza baada ya kupewa taarifa na majirani, walipofika walikuta nyama nyingi chumbani kwa Alberto. Polisi walipofanya uchunguzi waligundua kuwa nyama ile ni ya binadamu.


Baada ya kukamatwa Alberto alikiri kuwa ni kweli alimuuwa mama yake, akamkatakata vipande na kuanza kula nyama akisaidiana na mbwa wake.


Ripoti ya polisi ilisema kuwa Alberto alikuwa mtumiaji mkubwa wa dawa za kulevya.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad