AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtu mmoja amegundulika kuwa na virusi vya Ebola Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Wizara ya Afya nchini humo imeeleza.
Mwanamke mmoja kutoka mji wa Biena karibu na mji wa Butembo amepoteza maisha kutokana na Ugonjwa huo.
Mamlaka zimesema zinapeleka timu ya wataalamu katika eneo hilo.
Huu ni mlipuko wa 12 wa Ebola nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia
Ya awali ilitokea karibu miezi mitatu iliyopita Magharibi mwa DRC.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK