Mambosasa: Tumemkamata “Anayejiita Askofu” Mwamakula

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es Salaam limemkamata Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula wa Kanisa la Uamsho la Moravian kwa kosa la kuhamasisha maandamano Nchi nzima kupitia mitandao ya kijamii.

 

Kamanda Mambosasa amesema taarifa ya Mwamakula ilikuwa ikihamasisha Wananchi wajitokeze kwa wingi ili kuandamana wakishinikiza na kudai #Katiba mpya jambo ambalo ni kinyume na taratibu na Sheria za nchi.

 

Amesema Polisi kupitia Idara ya Upelelezi Kanda Maalum Dar es Salaam walifanikiwa kupata taarifa hiyo na kumkamata Askofu Mwamakula kwaajili mahojiano kwa jambo hilo lililoelezwa kuleta taharuki kwa Umma.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad