Mapigano katika magenge ya madawa ya kulevya Colombia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Watu 11 wamepoteza maisha yao ndani ya siku 2 katika mapigano ya magenge katika jimbo la Narino la Colombia.


Waziri wa Ulinzi Diego Molano ametangaza kuwa visa vya vurugu vilitokana na vikundi viwili vya genge "Contadores" na "Oliver Sinisterra" kutaka kudhibiti eneo hilo.



Molano, ambaye aliomba msaada kutoka kwa raia kupata wahalifu, alitangaza kuwa wale ambao watawasilisha habari kwao katika vita dhidi ya wafanyabiashara wa dawa za kulevya na magenge watapewa kiwango kikubwa cha pesa.



Molano amesema kuwa wamewakamata washiriki 54 wa mashirika ya uhalifu katika operesheni nzuri waliyoifanya tangu mwanzo wa 2021.



Tangu mwanzo wa mwaka, zaidi ya watu 50 wameuawa katika mashambulizi ya vikundi vyenye silaha katika maeneo tofauti ya nchi, na majimbo yaliyoathiriwa zaidi na vurugu ni kama Antioquia, Cauca na Narino.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad