Mashabiki wa Yanga, Kocha Kaze Amekosea Wapi? Mbona Hajapoteza Mechi Hata Moja?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Hainiingii akilini mashabiki wa Yanga wanaomshutumu kocha Cedric Kaze, kocha hajapoteza mechi hata moja ya mashindano. Kachukua kombe la Mapinduzi Cup anaongoza ligi lakini watu wanavyomtupia lawama utadhani Yanga ipo nafasi ya 5 kwenye msimamo wa ligi na haina matumaini ya chochote.”


Kocha aliyeanza msimu huu na Yanga aliondoka huku timu ikiwa haijapoteza, tukajiuliza maswai mengi kwa nini ameondoka lakini sababu zilizokuwa zinatajwa ni kwamba timu inashinda lakini mashabiki wanakuwa kwenye presha.

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Kocha akaondoka kwa presha bila sababu ya msingi na inawezekana misingi aliyoijenga ndio inamsaidia leo Kaze kuendelea kutopoteza mechi.


Sasa mashabiki wanapata wapi ujasiri wa kumnyooshea vidole kocha?


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad