AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Imeripotiwa kuwa baadhi ya mashabiki walilipa kiasi cha ($100) sawa na TSh. 230,000 kwa ajili tu ya picha zao kuwekwa kwenye siti za uwanja wa Raymond James ambapo ilifanyika fainali ya Super Bowl LV usiku wa kuamkia jana.
Kutokana na uwepo wa janga la Corona, uwanja wa Raymond James unaopokea watu 65,890 waliokaa, kwenye mchezo huu ulipokea mashabiki 25,000 pekee na nafasi zilizobaki zilijazwa picha za mashabiki.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK