AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati Wachaga wakiwa Moshi Disemba 2020 wakitamba kwa kuangusha mbuzi na vikombe vya mbege, Mchekeshaji #TrevorNoah alikuwa mjini Los Angeles akifanya manunuzi ya Jumba la Kifahari.
Mchekeshaji huyo raia wa Afrika Kusini alinunua Jumba la Kifahari kwenye makazi ya Bel Air mjini Los Angeles California, kwa kiasi cha ($27.5 million) sawa na Bilioni 64.9 za Kitanzania, SWIPE kuitazama vizuri.
Hili sio jumba la kwanza kununua mitaa hiyo, 2018 alifanya hivyo kwa kutoa kitita cha ($20.5 million) lakini aliishia kuliuza jumba hilo September 2020 kwa ($21.7 million). Noah (36) ni mchekeshaji, Mwigizaji na mtangazaji wa televisheni, akitamba na kipindi chake maarufu kiitwacho The Daily Show.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK