Mchekeshaji TrevorNoah Anunua Jumba Lenye Gharama ya Bilioni 64

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Wakati Wachaga wakiwa Moshi Disemba 2020 wakitamba kwa kuangusha mbuzi na vikombe vya mbege, Mchekeshaji #TrevorNoah alikuwa mjini Los Angeles akifanya manunuzi ya Jumba la Kifahari.


Mchekeshaji huyo raia wa Afrika Kusini alinunua Jumba la Kifahari kwenye makazi ya Bel Air mjini Los Angeles California, kwa kiasi cha ($27.5 million) sawa na Bilioni 64.9 za Kitanzania, SWIPE kuitazama vizuri.


Hili sio jumba la kwanza kununua mitaa hiyo, 2018 alifanya hivyo kwa kutoa kitita cha ($20.5 million) lakini aliishia kuliuza jumba hilo September 2020 kwa ($21.7 million). Noah (36) ni mchekeshaji, Mwigizaji na mtangazaji wa televisheni, akitamba na kipindi chake maarufu kiitwacho The Daily Show.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad