Mechi za viporo vya Simba na Namungo Februari 4

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Almasi Kasongo amesema, wamejipanga kwa ajili ya mzunguko wa pili wa VPL utakaporejea pamoja na ushindani mkubwa uliopo wa vilabu vinavyoshiriki ligi hiyo.
Kasongo pia amesema kabla ya VPL kuendelea Februari 13, kutachezwa mechi za viporo kuanzia Februari 4 hadi 7 ambavyo vingi vimesababishwa na vilabu vinavyoshiriki mashindano ya CAF.

“Tumejipanga na tunarudi kwa kishindo kuendelea pale tulipoishia. Tutakaporudi tutacheza mechi za viporo kwa zile timu zinazoshiriki mashindano ya CAF [Simba na Namungo.], Ligi itaendelea January 13 kwa maana ya mzunguko wa 19, naamini kutakuwa na ushindani wa hali ya juu,” Kasongo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad