Milioni Moja Yawatokea PUANI Watu Watatu, ni Baada ya Kutoka Kumuozesha Mwanafunzi wa Darasa la Sita

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wakazi watatu wa Wilaya ya Tanganyika wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kula njama ya kumuozesha Mwanafunzi wa Darasa la 6 kwa mahari ya Tsh. Milioni 1


Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Benjamin Kuzaga amethibitisha kukamatwa kwa watu hao wakiwemo Baba wa Kambo, Mama wa Mwanafunzi huyo pamoja na Balozi wa Mtaa wa Idoselo


Ameeleza kuwa, Januari mwaka huu watuhumiwa hao walikutana kupanga mahari na baada ya kikao Binti (16) aliitwa na kuelezwa mipango ya kuolewa. Mwanafunzi huyo hakukubali na Mama yake alimfukuza nyumbani

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Kamanda Kuzaga amesema Watuhumiwa wote watafikishwa Mahakamani baada ya uchunguzi kukamilika

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad