Mke wa Marehemu Nipsey Hussle Aitwaye Lauren London Adaiwa Kuwa Mjamzito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Lauren London ambaye ni mke wa marehemu Nipsey Hussle, amekanusha taarifa zilizokuwa zikisambaa kwamba ana ujauzito. Taarifa hizo zilizotolewa na gazeti kongwe liitwalo Los Angeles Sentinel juzi Februari 9.


Lauren London alitumia mistari Minne na nusu kwenye tweet yake jana (Februari 10) kukanusha taarifa hizo kwa kusema ni uzushi na uongo mtupu

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

"Niliamka na kukuta upuuzi. Uzushi, Uongo. Tena kwa mwanamke ambaye anajaribu kwa uwezo kuweza kupona?! Tafadhali acha. Mimi sio mjamzito." aliandika Lauren London ambaye ana mtoto mmoja na marehemu Nipsey huku pia akiwahi kuzaa mtoto mmoja na Lil Wayne.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad