Morrison Apeleka Kilio Biashara Utd

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MABINGWA watetezi wa Ligi kuu bara Simba, leo Februari 18 wamefanikiwa kuibuka na ushindi mwembamba wa goli 1-0 dhidi ya Biashara United ya mkoani Mara, na kufanikiwa kuvuna pointi tatu muhimu.
 
Mchezo huo umechewezwa katika dimba la Karume Musoma, bao pekee la Simba limepachikwa wavuni na Bernard Morrison dakika ya 22 ya mchezo.
 

 
Simba ambayo haikuanza na baadhi ya nyota wake ilitengeneza nafasi kadhaa za wazi kufunga na kama Morrison na Chikwende wangetumia vema nafasi hizo, wekundu wa msimbazi Simba wangeshinda kwa zaidi ya goli moja.
 
Kwa matokeo hayo Simba imefikisha alama 42 baada ya kucheza michezo 18 katika nafasi ya pili, Yanga inaongoza msimamo kwa alama 46 baada ya kushuka dimbani mara 20.
 


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad