Msami: Nili-date na Kajala, Hatukuchorana Tattoo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


MSANII wa muziki wa Bongo Fleva Msami amefunka baadhi ya musiano yake ambayo aliwahi kuwa mojawapo yakiwa ni Kajala na Irene Uwoya.

Msami ameeleza kuwa aliwahi kuwa kwenye mahusiano na Kajala ingawa hakutegemea lakini hawakufikia hatua ya kuanza kuchorana tatoo.

Msami ameongeza kuwa mmoja ya mtu aliyewahi kuwa naye kwenye mahusiano na litaka kumchora tatoo ingawa hakujua kama alichorwa hiyo au hakumchora ni Irene Uwoya.


 


 


”Wanaocheka umri au kipato kwenye mahusiano hao hawajui maana ya mahusiano, mimi nawapongeza sana Harmonize an Kajala nawaombea wafikie malengo yao pia mimi ni shabiki yao nayapenda mahusiano yao nataka kuona wakifika mbali zaidi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad