AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Nyanhwiga, Wilayani Mbogwe, David Kabalu anatuhumiwa kupita nyumba kwa nyumba kuchangisha Wananchi fedha kwa lengo la kununua madawati kisha akatoroka na fedha hizo
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel alipokuwa akizungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe ameliagiza Jeshi la Polisi kumsaka na kumkamata baada ya Afisa Mtendaji huyo kutorokea kusikojulikana usiku wa manane
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe, Saidi Nkumba amesema miradi mingi inayojengwa kwa nguvu za Wananchi inakwama kutokana na 40% za fedha kutoka Serikalini kutopelekwa kwa wakati
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK