Mzazi Aliyegoma Kuwapeleka Watoto SHULE Kisa Dini Hairuhusu Akamatwa na Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Merchades Mugishagwe anashikiliwa na Polisi kwa Amri ya Mkuu wa Wilaya ya Bukoba akidaiwa kukaidi agizo la kuwaandikisha Watoto wake watatu Shule


Wakati Mzazi huyo akikamatwa, Serikali imewapeleka Watoto hao Shule ambapo Mtoto mkubwa (13) ameandikishwa Darasa la Nne, mwenye miaka 9 ameandikishwa Darasa la Pili huku mdogo wa miaka mitano akiandikishwa Darasa la Awali

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Watoto hao wamepelekwa Shule chini ya usimamizi wa Halmashauri wa Manispaa ya Bukoba baada ya Serikali Wilaya ya Bukoba kuingilia kati uamuzi wa Wazazi wa kutowapeleka Shule kwasababu imani yake haiamini katika #Elimu ya Dunia.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad